Habari za kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato katika Taasisi nyingi za Serikali zinazidi kuchukua vichwa vya habari, tuliona Jeshi la Polisi Usalama Barabarani na sehemu nyingine mapato yakiongezeka. Leo Tarehe 11 March 2016 Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi nao wameingia kwenye list ya ukusanyaji mapato mengi kwa kipindi kifupi.
source millardayo.com

0 Comments
Post a Comment